HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 16, 2018

MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB AKUTANA NA MSAJILI WA HAZINA

Msajili wa Hazina, Athumani Selemani Mbuttuka (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nsekela (kulia) alipokuwa akimkaribisha ofisini kwake, jijini Dar es salaam alipokwenda kwa lengo la kujitambulisha. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nsekela (wa tatu kushoto) akizungumza wakati akielezea mipango na mikati yake kwa Benki hiyo, kwa Msajili wa Hazina, Athumani Selemani Mbuttuka (kushoto) wakati alipompembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam, alipokwenda kwa lengo la kujitambulisha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad