HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 10, 2018

KAMATI YA UKUMWI YAKUTANA NA WIZARA YA UJENZI KUJADILI UINGIZWAJI WA DAWA ZA KULEVYA NCHINI


 Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI ikiwa katika kikao Jijini Dodoma ambapo leo wamepokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuhusu Udhibiti wa Uingizaji wa Dawa za Kulevya kwenye maeneo ya Bandari, Fukwe, Barabara Kuu na Viwanja vya Ndege.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI, Mhe. Oscer Mukasa akisisitiza jambo kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Atashasta Nditiye. Kamati hiyo leo ilipokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuhusu Udhibiti wa Uingizaji wa Dawa za Kulevya kwenye maeneo ya Bandari, Fukwe, Barabara Kuu na Viwanja vya Ndege katika kikao kilichofanyika Jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Atashasta Nditiye akijibu hoja za Wajumbe wa  Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI katikati ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Oscer Mukasa na pembeni ni Katibu wa Kamati Ndg .Agnes Nkwera. Kamati ya Masuala ya UKIMWI  imepokea na kujadili Taarifa ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuhusu Udhibiti wa Uingizaji wa Dawa za Kulevya kwenye maeneo ya Bandari, Fukwe, Barabara Kuu na Viwanja vya Ndege katika kikao kilichofanyika leo Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad