Sehemu ya Umati wa washiriki wa mbio mbali mbali katika 'Rotary Dar Marathon' wakiwa tayari kushuhudia washiriki wa mbio ndefu za kilometa 42.2 (42.2KM Marathon) walipokuwa wakianza mbio hizo mapema leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Toure Drive, Masaki jijini Dar es salaam. Mbio hizo zilizohudhuliwa na watu mbali mbali zilikuwa ni zenye mvuto wa aina yake huku wakimbiaji wakionekana kuchuana vikali, huku kila mshiriki alionyesha uwepo wake wa hali ya juu pamoja na kuchelewa kwa takribaki saa mbili za kuanza kwa mbio hizo.
Washiriki wa mbio ndefu za kilometa 42.2 (42.2KM Marathon) wakianza kutimua mbio hizo
mapema leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Kenyatta na Toure
Drive, Masaki jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment