HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 5, 2018

DIAMOND ASIPOOA MWAKA HUU NAMFUNGA - MAKONDA

MAKONDA kweli noma! Ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkuu ya Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amtengaza hadharani kwamba iwapo msanii Nasseb Abdull a.k.a Diamond asipooa mwaka huu basi atamfunga.

RC Makonda amesema hayo leo wakati anazungumza kwenye sherehe za kumbukizi ya kuzaliwa kwa Diamond ambapo tukio linakwenda sambambamba na msanii huyo kurejesha shukrani kwa wananchi wa Kata ya Tandale.

"Mama Diamond naomba nieleze hapa wazi kuwa mwaka huu kabla ya kuisha lazima Diamond awe ameoa.Asipooa namfunga,"amesema.

Amesisitiza ni lazima msanii huyo akaoa na kutoa mifano kwenye orodha ya watu ambao anataka waoe mwaka huu wapo watatu na mmoja wao ni Diamond.
Msanii wa Kizazi kipya Diamond Platinum akiwapungia mikono mashabiki wake wakati wa sherehe za kumbukizi ya kuzaliwa kwake ambapo tukio linakwenda sambambamba na msanii huyo kurejesha shukrani kwa wananchi wa Kata ya Tandale.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad