HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 22, 2018

TAMASHA LA TULIA TRADITIONAL DANCES FESTIVAL 2018


 WASANII wa Kikundi cha ngoma cha Bagamoyo cha Wilayani Rungwe, wakishambulia jukwaa wakati wa mashindano ya ngoma katika Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018.
 MKURUGENZI wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Akson, akimsikiliza Mbunge wa Busega, Dkt. Chegeni, walipokuwa wakitambulishwa, madiwani wa CCM wa Mkoa wa Mbeya walioteuliwa katika uchaguzi mdogo uliopita,  wakati wa Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018.

 WASANII wa Kikundi cha ngoma cha Makandana, wakishambulia jukwaa wakati wa mashindano ya ngoma katika Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018. 

WASANII wa Kikundi cha ngoma cha Zanzibar, akishambulia jukwaa wakati wa mashindano ya ngoma katika Tamasha la Tulia Traditional Dances Festival 2018, lililofanyika kwenye Uwanja wa Tandale Wilayani Rungwe mji wa Tukuyu mkoani Mbeya jana Sept 21/ 2018. (Picha na Muhidin Sufiani)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad