HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 9, 2018

RAIS MAGUFULI AHUTUBIA WANANCHI WA MEATU MKOANI SIMIYU

 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa  Meatu mjini mkoani Simiyu mara baada ya kuwasili wakati akitokea Bariadi.
 Sehemu ya Wananchi wa Meatu wakifatilia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati alipokuwa akizungumza  katika viwanja vya Meatu mjini.
 Ngoma ya kichungaji ya Budimi ya Meatu ikitoa burudani mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili Meatu mjini mkoani Simiyu.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika viwanja vya Meatu mjini kwa ajili ya kuhutubia katika mkutano wa hadhara. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad