Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, Mawaziri, Viongozi wa dini na
 Chama akivuta utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa 
Daraja la Mto Sibiti lenye urefu wa mita 82 pamoja na barabara unganishi
 zenye urefu wa km 25 katika eneo la mto Sibiti Mpakani mwa Simiyu na 
Singida.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa 
pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, Mawaziri, Viongozi wa dini na
 Chama akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mitambo itakayotumika katika 
mradi huo wa ujenzi wa Daraja la mto Sibiti.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akizungumza na wananchi wa Sibiti, Maswa na Singida katika eneo la mto 
Sibiti kabla ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Daraja la Mto Sibiti 
lenye urefu wa mita 82 pamoja na barabara zake unganishi zenye urefu wa 
km 25.
 Wanachi mbalimbali kutoka Singida, Maswa, Sibiti wakishangilia wakati wa
 hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli katika eneo la Sibiti mpakani mwa mikoa ya Simiyu na Singida.
 Kikundi cha ngoma cha Lusanya kutoka Singida kikitumbuiza katika sherehe hizo.
Sehemu ya Daraja la mto Sibiti lenye urefu wa mita 82  upana mita 10.5 linalounganisha kati ya mikoa ya Simiyu na Singida kama linavyoonekana ambapo ujenzi wake umefikia asilimia 70. PICHA NA IKULU








No comments:
Post a Comment