Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Masaneta kutoka
Bunge la Ufaransa walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza
toka kulia ni Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta
Bernard Jomier.
Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier (kushoto) akimueleza jambo
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) wakati yeye pamoja na
Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa walipomtembelea Ofisini kwake Jijini
Dodoma. Wakwanza toka kulia ni Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah
na Seneta Bernard Jomier.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwaelezea jambo Masaneta
kutoka Bunge la Ufaransa na Balozi wa Ufaransa nchini wakati
alipowatembeza ndani ya Ukumbi wa Bunge, wakwanza toka kulia ni Balozi
wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril
Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) ndani ya Ukumbi wa Bunge
katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier,
(wakwanza toka kulia) Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na
Seneta Bernard Jomier.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) nje ya Ukumbi wa Bunge katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, (wakwanza toka kulia) Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
PICHA NA BUNGE
No comments:
Post a Comment