HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 11, 2018

MASENETA KUTOKA BUNGE LA UFARANSA WAKUTANA NA KUZUNGUMZA NA SPIKA WA BUNGE JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (kushoto) akizungumza na Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza toka kulia ni Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
   Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier (kushoto) akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) wakati yeye pamoja na Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza toka kulia ni Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) akiwaelezea jambo Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa na Balozi wa Ufaransa nchini wakati alipowatembeza ndani ya Ukumbi wa Bunge, wakwanza toka kulia ni Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
 
  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) ndani ya Ukumbi wa Bunge katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, (wakwanza toka kulia) Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) nje ya  Ukumbi wa Bunge katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, (wakwanza toka kulia) Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad