Mkuu wa Kitengo cha Mwendelezo wa Biashara ya M-Pesa, Vodacom Tanzania
Plc,Polycarp Ndekana (Kulia ) akiongea kwa waandishi wa habari jijini
Dar es Salaam, wakati wa uzinduzuzi wa huduma mpya na ya kwanza nchini
inayomwezesha mwananchi kufanya miamala ya malipo kwa mfumo wa serikali
wa Kielektroniki kwa kupitia Huduma ya M-Pesa APP QR zaidi ya taasisi
za serikali 150 zimesha anza kupokea malipo kwa njia ya huduma hiyo kwa
kupiga *150*00# wanaoshuhudia kutoka kushoni Mhasibu wa Fedha wa
RITA, Audiface Cresence na Afisa Mwandamizi wa Tehama Wizara ya Fedha ,
Benard Mabagala.
Mkuu wa Kitengo cha Mwendelezo wa Biashara ya M-Pesa, Vodacom Tanzania
Plc,Polycarp Ndekana (Kulia ) akiwaonyesha waandishi wa habari jijini
Dar es Salaam,(hawapo pichani) jinsi ya kujiunga na huduma ya malipo kwa
njia ya mtandao wakati wa uzinduzuzi wa huduma mpya na ya kwanza nchini
inayomwezesha mwananchi kufanya miamala ya malipo kwa mfumo wa serikali
wa Kielektroniki kwa kupitia Huduma ya M-Pesa APP QR zaidi ya taasisi
za serikali 150 zimesha anza kupokea malipo kwa njia ya huduma hiyo
kwa kupiga *150*00# wanaoshuhudia kutoka kushoni Mhasibu wa Fedha wa
RITA, Audiface Cresence na Afisa Mwandamizi wa Tehama Wizara ya Fedha ,
Benard Mabagala.
Mkuu
wa Kitengo cha Mwendelezo wa Biashara ya M-Pesa, Vodacom Tanzania
Plc,Polycarp Ndekana (kushoto) akimsikiliza Mhasibu wa Fedha wa RITA,
Audiface Cresence (kulia) wakati akiongea kwa waandishi wa haabari,
wakati wa uzinduzuzi wa huduma mpya na ya kwanza nchini inayomwezesha
mwananchi kufanya miamala ya malipo kwa mfumo wa serikali wa
Kielektroniki kwa kupitia Huduma ya M-Pesa APP QR zaidi ya taasisi za
serikali 150 zimesha anza kupokea malipo kwa njia ya huduma hiyo kwa
kupiga *150*00#.
Mkuu wa Kitengo cha Mwendelezo wa Biashara ya M-Pesa, Vodacom Tanzania
Plc,Polycarp Ndekana (katikati ) Mhasibu wa Fedha wa RITA, Audiface
Cresence (Kushoto) na Afisa Mwandamizi wa Tehama Wizara ya Fedha ,
Benard Mabagala wakiwaonyesha waandishi wa habari jijini Dar es Salaam
(hawapo pichani) vipeperushi vinavyoonyesha jinsi ya kujiunga na
huduma ya malipo kwa njia ya mtandao wakati wa uzinduzuzi wa huduma mpya
na ya kwanza nchini inayomwezesha mwananchi kufanya miamala ya malipo
kwa mfumo wa serikali wa Kielektroniki kwa kupitia Huduma ya M-Pesa APP
QR zaidi ya taasisi za serikali 150 zimesha anza kupokea malipo kwa
njia ya huduma hiyo kwa kupiga *150*00#
No comments:
Post a Comment