HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 9, 2018

SPIKA NDUGAI AFANYA ZIARA KATIKA WILAYA YA KONGWA

 Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa avalishwa rasmi vazi la jadi la uchifu na kupewa mbuzi na wazee wa jadi kama ishara ya heshima na kukubalika katika Kijiji cha Nghumbi kiliopo wilaya ya Kongwa.
 Wananchi mbalimbali wa Kijiji cha Gomaye wakimsikiliza kwa makini Mheshimiwa Spika Job Ndugai ambaye alifanya ziara katika Kijiji hicho mapema leo.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa akilisikiliza kwa makini kikundi cha ngoma ambacho kilitoa buruduni katika Kjiji cha Njoge wilaya ya Kongwa. Spika anatarajia kutembelea vijiji kumi na mbili katika ziara yake wilayani humo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad