Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la
Kongwa avalishwa rasmi vazi la jadi la uchifu na kupewa mbuzi na wazee
wa jadi kama ishara ya heshima na kukubalika katika Kijiji cha Nghumbi
kiliopo wilaya ya Kongwa.
Wananchi mbalimbali wa Kijiji cha Gomaye wakimsikiliza kwa makini
Mheshimiwa Spika Job Ndugai ambaye alifanya ziara katika Kijiji hicho
mapema leo.
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa akilisikiliza kwa makini kikundi cha ngoma ambacho kilitoa buruduni katika Kjiji cha Njoge wilaya ya Kongwa. Spika anatarajia kutembelea vijiji kumi na mbili katika ziara yake wilayani humo.
No comments:
Post a Comment