HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 28, 2018

MAKAMU WA RAIS AFANYA MKUTANO WA HADHARA MBEYA MJINI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa Mbeya mjini kwenye viwanja vya Ruandanzovwe, Makamu wa Rais yupo mkoani Mbeya kwenye ziara ya kuhamasisha maendeleo.
 Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Mhe. Joseph Mbilinyi (Chadema) wakazi wa Mbeya mjini kwenye viwanja vya Ruandanzovwe, ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Sehemu ya Wakazi wa Mbeya mjini waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara ambapo mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Ruandanzovwe. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia waliokuwa madiwani wa Chadema ambao wametangaza rasmi kujiunga na CCM  kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Ruandanzovwe Mbeya mjini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Mhe. Joseph Mbilinyi (Chadema) mara baada ya kumaliza kuhutubia wakazi wa Mbeya mjini kwenye viwanja vya Ruandanzovwe, Makamu wa Rais yupo mkoani Mbeya kwenye ziara ya kuhamasisha maendeleo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad