HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 30, 2018

MAJALIWA ATEMBELEA SHAMBA LA FAMILLIA YA RIWA MKOANI KIGOMA

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua shamba la  kahawa bora iliyopandwa na Familia ya Bibi Victoria Riwa (watano kulia) katika kijiji cha Nyarubanda mkoani Kigoma Julai 30, 2018. Wapili kulia ni Mtoto wa familia hiyo, Gerlad Riwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na familia ya Bibi Victoria Riwa ( kulia) wa kijiji cha Nyarubanda  mkoani Kigoma wakati alipotembelea shamba  la familia hiyo  linalopandwa miche ya kahawa bora na kufurahishwa na mipango mizuri ya kilimo inayofanywa na familia hiyo.   Kushoto ni Lilian Riwa na wapili kushoto ni  Gerlad Riwa, wote wakiwa ni watoto wa familia hiyo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad