HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 17, 2018

MAFUNZO YA WAANDISHI WA HABARI ZA MAHAKAMA YAENDELEA MJINI MOROGORO


 Wakili wa Kujitegemea kutoka Haki Advocates,  Aloyce Komba akitoa Mada ya utoaji wa Habari za Kimahakama kwa waandishi wa Habari za Mahakama wanaoshiriki katika mafunzo ya Uandishi wa Habari za Kimahakama katika Ukumbi wa Magadu mkoani Morogoro. 
Naibu Msajili, Mahakama Kuu,  Augustino Rwizile akitoa mada ya ‘Hatua mbalimbali za Mashauri ya Jinai na Madai’, lengo ni kuwaelimisha zaidi Waandishi hao juu ya hatua/taratibu mbalimbali katika uendeshaji wa mashauri hayo. 
Afisa Tehama kutoka Mahakama ya Rufani-Tanzania, Allan Machella akitoa mada ya ‘Njia kuelekea Mahakama Mtandao, Mipango na Mafanikio.’
Mwandishi wa Nipashe, Hellen Mwango akichangia mada katika mafunzo hayo.
 Washiriki wakifuatilia mada kwa umakini.
(Picha na Mary Gwera)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad