HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 5, 2018

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu yatembelea TAA kuona utendaji wake

 Kaimu Mkurugenzi  mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania, Richard Mayongela akimpokea mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Suleimani Kakoso ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mpanda Vijijini.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Suleimani Kakoso akisalimiana na watendaji waandamizi wa Mamlaka wa Viwanja vya ndege Tanzania mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Watu Mashuhuri.
 Kaimu Mkurugenzi  mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Tanzania, Richard Mayongela  akiwasilisha taarifa ya Utendaji ya Mamlaka mara baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu uuwasili.
 Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakifuatilia taarifa ya utendaji ya Mamlaka ya Viwanja yya Ndege iliyokuwa ikiwasilishwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAA, Richard Mayongela.
 Kaimu Mkurugenzi wa Kiwanja cha JNIA, Paul Rwegasha akitoa historia ya Jengo la kwanza la abiria wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu.
Moja ya gari jipya lililowasili kati ya sita ambayo Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania imeyanunua na kuyakabidhi kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ili kuweza kusaidia katika dharura za moto zinazoweza kutokea Kiwanjani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad