HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 9, 2018

SPIKA NDUGAI AOSHA MAGARI KUHAMASISHA UCHANGIAJI WA FEDHA ZA UJENZI WA VYOO

 
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiosha magari tofauti tofauti wakati wa shughui ya kuosha Magari kwa ajili ya kuchangia fedha za kujengea Vyoo vya mfano kwa ajili ya watoto wa Kike na wenye mahitaji maalum. Shughuli hiyo imefanyika katika uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad