HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 6, 2018

Mafunzo ya Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yafanyika Mkoani Iringa

Mhasibu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.Juma Shaha akifuatilia jambo kwa washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayoendelea Mkoani Iringa yakiwashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Mhasibu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.Juma Shaha akifafanua jambo kwa washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayoendelea Mkoani Iringa yakiwashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mtihani wa tathmini katika magrupu leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Mhasibu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw.Juma Shaha(kushoto) akifuatiia jambo na Mtaalamu mshauri wa Masuala ya rasilimali fedha Bi.Hellen Nyagwa wakati wa mafunzo ya Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayofanyika kwa wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Washiriki wa mafunzo  wa Mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifanya mafunzo kwa vitendo kwa kutumia mfumo mpya wa Epicor 10.2 leo Mkoani Iringa ambapo mafunzo hayo yanawashirikisha wahasibu,waweka hazina na maafisa usimamizi wa fedha wa mikoa ya Tanga,Iringa na Morogoro.
Picha na Daudi Manongi,MAELEZO, IRINGA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad