HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 20, 2018

KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE YAKUTANA NA WABUNGE KUTOKA GAUTENG AFRIKA YA KUSINI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Mussa Zungu (katikati) akizungumza na Waheshimiwa Wabunge (hawapo kwenye picha) kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini ambao ni Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii walipowatembelea leo katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. 
 Wabunge wa Bunge la Tanzania ambao ni Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (kulia) wakizungumza na Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii ambao ni Waheshimiwa Wabunge kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini walipokutana leo katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
 Wabunge wa Bunge la Tanzania ambao ni Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii ambao ni Waheshimiwa Wabunge kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini walipokutana leo katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Mbunge wa IIala  Mhe. Mussa Zungu (kulia) akisalimiana na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge kutoka Jimbo la Gauteng lililopo Afika kusini ambao ni Wajumbe wa kamati ya Usalama wa Jamii, Mhe.  Sochayile Khanyile

 (PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad