HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 5, 2018

Balozi wa Kuwait nchini aanda iftar jijini Dar

 Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem akiongozana na Rais Mstaafu, Alhaj Ali Hassan Mwinyi wakati wakiwasili kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam kwa Iftar iliyoandaliwa na Balozi huyo kwa heshima ya Dkt. Waliyd Shuaib Msaidizi Waziri wa Wakfu nchini Kuwait anayeshughulika na maswala ya Quran Tukufu.
 Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem akizungumza machache katika Iftar aliyoiandaa kwa wadeni mbalimbali akiwemo Rais Mstaafu, Alhaj Ali Hassan Mwinyi ikiwa kwa heshima ya Dkt. Waliyd Shuaib Msaidizi Waziri wa Wakfu nchini Kuwait anayeshughulika na maswala ya Quran Tukufu.
 Rais Mstaafu, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akipokea zawadi ya frame yenye nembo ya Kuwait kutoka kwa Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem baada ya hafla ya Iftar aliyoiandaa kwa wageni mbalimbali waliofika. Kushoto ni Dkt. Waliyd Shuaib Msaidizi Waziri wa Wakfu nchini Kuwait anayeshughulika na maswala ya Quran Tukufu na Kulia ni Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Ndg. Abdulrahman Kinana.
 Baadhi ya wageni wakipata Iftar iliyoandaliwa na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem.
 Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem akisalimiana na baadhi ya wageni wake waliofika kwenye Iftar aliyoiandaa kwa heshima ya Dkt. Waliyd Shuaib Msaidizi Waziri wa Wakfu nchini Kuwait anayeshughulika na maswala ya Quran Tukufu.
picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad