Wananchi wa kijiji cha MKASALE katika TARAFA YA NAMASAKATA wilayani TUNDURU mkoani RUVUMA wameishuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwajengea kituo cha afya ambacho kitaweza kuhudumia wakazi zaidi 43,195 . ambapo serikali imeleta milioni 400 huku mkuu wa mkoa wa Ruvuma CHRISTINA MNDME akiahidi kuleta wataalamu wenye sifa pamoja na vifaa tiba
HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.
Monday, May 14, 2018
WANANCHI WA KIJIJI CHA MKASALE WILAYANI TUNDURU WAMSHUKURU RAIS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment