HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 22, 2018

IGP SIRRO AKUTANA NA BALOZI UFARANSA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Frederic Clavier (katikati), alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam, ambapo balozi huyo imeahidi kuendelea kushirikiana na Jeshi hilo kwenye masuala mbalimbali ya kiusalama. Picha na Jeshi la Polisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akimsikiliza Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Fatma Karume (Kulia), aliyeongozana na wajumbe wake wawili Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam kwa lengo la Kujitambulisha na pia kujadiliana masuala mbalimbali ya kisheria. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Fatma Karume (Kulia), wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam kwa lengo la kujitambulisha tangu alipochaguliwa kuwa Rais wa Chama hicho na pia kujadiliana masuala mbalimbali ya kisheria. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad