Balozi wa Castle Africa 5s, Ivo Mapunda, (kulia) akizungumza
baadhi ya wachezaji wakati wa Bonanza la Castle Africa 5s(5-
aside) lililofanyika katika Uwanja wa Barafu Mburahati jijini Dar
es Salaam mwishoni mwa wiki. Bingwa katika mashindano hayo
ataiwakilisha nchi ya Tanzania katika mashindano ya Afrika
yanayotarajiwa kufanyika Zambia.
Balozi wa Castle Africa 5s, Ivo Mapunda, (kulia) akizungumza
baadhi ya wachezaji wakati wa Bonanza la Castle Africa 5s(5-
aside) lililofanyika katika Uwanja wa Machava Kigamboni jijini
Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Bingwa katika mashindano
hayo ataiwakilisha nchi ya Tanzania katika mashindano ya
Afrika yanayotarajiwa kufanyika Zambia.
No comments:
Post a Comment