Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akizungumza na wakazi wa kata ya Sing’isi alipokuenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro wa ardhi dhidi ya muwekezaji
Sehemu ya wananchi wa kata ya Sing’isi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula.
Diwani wa Seela-Sing’isi Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha Penzila Pallangyo akimueleza Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula kuhusu mgogoro wa ardhi wa eneo la kata ya Sang’isi.
Maofisa kutoka Wizara ya Ardhi na Kanda ya Kaskazini wakifuatilia mkutano baina ya wananchi wa kata ya Sang’isi wilaya ya Arumeru na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula.
No comments:
Post a Comment