HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 28, 2018

KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA ZANZIBAR,UBALOZI WA SWEDEN WASAINI MAKUBALIANO YA BILIONI 13/- KUSAIDA SEKTA YA ELIMU ZANZIBAR

 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar (kushoto) akitiliana saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden Ulf Kallstig (kulia) kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shillingi Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.
 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar (kushoto) akibadilishana hati ya saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden, Ulf Kallstig(kulia) kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.
 Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden, Ulf Kallstig akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutiliana saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Khamis Mussa Omar kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Khamis Mussa Omar akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutiliana saini na Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Ubalozi wa Sweden  kuhusiana na Mradi wa awamu ya pili wa Dola za Kimarekani milioni 5.76 ambazo sawa na shilling Bilioni 13 za kitanzania kwa ajili ya kusaidia sekta ya Elimu Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad