HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 15, 2018

IGP SIRRO AKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAKAO MAKUU YA POLISI DODOMA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akikagua mradi wa maendeleo wa  Makao Makuu ya Jeshi hilo unaotekelezwa katika mkoa wa Dodoma, leo mradi ambao unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akitoka kukagua mradi wa maendeleo wa  Makao Makuu ya Jeshi hilo unaotekelezwa katika mkoa wa Dodoma, leo mradi ambao unatarajiwa kukamilika hivi karibuni. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad