HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 15, 2018

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege  wa Mwanza kuanza ziara ya kikazi mkoani humo Februari 15, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabulla wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza kuanza ziara ya mkoa huo, Februari 15, 2018. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na viongozi wa serikali, Vyama vya Siasa na viongozi wa dini kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza baada ya kuwasili  na kuanza ziara ya kikazi mkoani humo Februari 15, 2018.  Watano kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad