HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 28, 2018

WAZIRI MKUU AZINDUA WA BARABARA TANDAHIMBA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la barabara ya Tandahimba mjini, Mkoani Mtwara, yenye urefu wa kilomita tatu iliyojengwa kwa fedha za halmashauri leo Februari 28, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi la barabara ya Tandahimba mjini, Mkoani Mtwara yenye urefu wa kilomita tatu iliyojengwa kwa fedha za halmashauri leo Februari 28, 2018.

Wananchi wa Wilaya ya Tandahimba wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza nao mara baada ya kuweka jiwe la msingi la barabara ya Tandahimba mjini, Mkoani Mtwara yenye urefu wa kilomita tatu iliyojengwa kwa fedha za halmashauri leo Februari 28, 2018. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad