HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 11, 2018

ROTALY CLUB YATOA MICHE YA MITI 4000 KWA SHULE 6 MANISPAA YA SONGEA

 Viongozi wa Club ya Rotaly tawi la Songea moani Ruvuma wakiangalia kitalu kimojawapo cha miti kilichooteshwa na klub hiyo,ili miti iweze kusambazwa katika shule za msingi na sekondari katika manispaa ya Songea.
Rais wa club ya Rotaly Tawi la Songea Albert Kessy wa pili kushoto pamoja na  baadhi ya viongozi wakikabidhi miche ya miti kwa mratibu wa Asasi isiyokuwa ya kiserikali  ya Roots And Shoots inayofanya kazi ya uelimishaji kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari moani Ruvuma katika uhifadhi wa mazingira jamii na wanyama Oddo Ngatunga katikati.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad