HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 26, 2018

IGP SIRRO AWATAKA ASKARI KUTENDA HAKI KWA WANANCHI WANAOWAHUDUMIA BARIADI, SIMIYU

Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (wapili kushoto), akikagua baadhi ya vielelezo katika kituo Kikuu cha Polisi wilaya ya Bunda mkoani Mara wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya kuzungumza na maofisa na askari mkoani humo, IGP Sirro amewataka askari kufanyakazi kwa weledi na kuzingatia maadili ya kazi pamoja na kutenda haki kwa wananchi wanaowahudumia. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akipokea salamu ya heshima kutoka kwa askari wa kikosi maalum cha Jeshi hilo wakati alipowasili Bariadi mkoani Simiyu kwa ziara ya kikazi IGP Sirro pia aliwataka askari kutojihusisha na vitendo vya rushwa na kuhakikisha wanatenda haki kwa wananchi wanaowahudumia. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiweka saini kwenye kitabu cha wageni wakati alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Simiyu kwa lengo la kuzungumza na wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa huo (hawapo pichani), kulia ni Mkuu wa mkoa huo Mhe. Antony Mtaka. Picha na Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad