HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 7, 2018

Tigo yakabidhi zawadi kwa washindi wa promosheni ya Tumia Tigo Pesa na Ushinde


Meneja wa Wateja wa Tigo Pesa, Mary Rutta (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tigo, Dar es Salaam wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa promosheni ya Tumia Tigo Pesa na Ushinde. Amezingirwa na baadhi ya washindi 153 wa promosheni hiyo waliojinyakulia vitita vya shilingi milioni 15, TZS milioni 10, TZS milioni 5, TZS milioni moja na TZS 500,000 kila mmoja.
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Simon Karikari (kushoto) pamoja na Afisa Mkuu wa Tigo Pesa, Hussein Sayed (katikati) wakikabidhi mfano wa hundi ya TZS 5 milioni kwa Mariam Maligisa, mkulima kutoka Nagangu mkoani Lindi, aliyekuwa moja wa washindi katika promosheni ya 'Tumia Tigo Pesa na Ushinde'. Jumla ya washindi 153 kutoka maeneo mbali mbali nchini walijinyakulia zawadi za TZS 500,000 hadi TZS 15 milioni katika promosheni hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Simon Karikari (kushoto) pamoja na Afisa Mkuu wa Tigo Pesa, Hussein Sayed (katikati) wakikabidhi mfano wa hundi ya TZS 10 milioni kwa Kulthum Salim , mkulima kutoka Tunduru mkoani Ruvuma, aliyekuwa moja wa washindi katika promosheni ya 'Tumia Tigo Pesa na Ushinde'. Jumla ya washindi 153 kutoka maeneo mbali mbali nchini walijinyakulia zawadi za TZS 500,000 hadi TZS 15 milioni katika promosheni hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Simon Karikari (kushoto) pamoja na Afisa Mkuu wa Tigo Pesa, Hussein Sayed (katikati) wakikabidhi mfano wa hundi ya TZS 15 milioni kwa Lugano Thomas , ambaye ni dereva na mkaazi wa Mbezi Makonde aliyekuwa mshindi katika promosheni ya 'Tumia Tigo Pesa na Ushinde'. Jumla ya washindi 153 kutoka maeneo mbali mbali nchini walijinyakulia zawadi za TZS 500,000 hadi TZS 15 milioni katika promosheni hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Simon Karikari (aliyeketi wa pili kushoto) akiwa pamoja na baadhi washindi wa promosheni ya 'Tumia Tigo Pesa na Ushinde' ambapo jumla ya wateja 153 walijishindia zawadi tofauti za TZS 15 milioni, TZS 10 milioni, TZS tano milioni na zawadi za kila siku za TZS milioni moja na TZS 500,000 kila mmoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad