HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 16, 2018

RAIS DKT MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA MABALOZI SITA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Nigeria nchini Mhe.Sahabu Isah Gada Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea  hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Nigeria nchini Mhe. Mhe.Sahabu Isah Gada  Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dkt. Suzan Kolimba kwa balozi mpya wa Nigeria nchini Mhe. Mhe.Sahabu Isah Gada Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 16, 2018.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea  hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Poland nchini Mhe. Krysztof Buzalski Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Poland nchini Mhe. Krysztof Buzalski Ikulu jijini Dar es Salaam leo
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Uturuki nchini Mhe. Ali Davutoglu Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi 16, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea saluti toka kwa mwambata wa kijeshi wa Ubalozi wa Uturuki nchini Navy Commander Murat Ozen  baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa  Uturuki nchini Mhe. Ali Davutoglu (wa pili kushoto)   Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 16, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na balozi mpya wa  Uturuki nchini Mhe. Ali Davutoglu akiwa na Mwambata wa Kijeshi Navy Commander Murat Ozen na Katibu wa pili ubalozini Nihat Kumhur baada ya kupokea hati ya yake ya utambulisho. Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Ufaransa mchini Mhe. Frederic Clavier  Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na balozi mpya wa Ufaransa nchini nchini Mhe. Frederick Clavier Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea  hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Israel hap  nchini Mhe. Noah Gal Gendler  Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Israel  Mhe. Noah Gal Gendler Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea  hati ya utambulisho toka kwa balozi mpya wa Australia nchini Mhe. Alison Chartres Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na  Bw.  Robert Sirotka, mume wa balozi mpya wa Australia nchini, Mhe. Alison Chartres  (katikati) baada ya kupokea hati  za  utambulisho toka kwa balozi huyo mpya  Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018. Kulia ni Katibu wa Pili Ubalozini Deanna.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo  na  Bw.  Robert Sirotka, mume wa balozi mpya wa Australia nchini, Mhe. Alison Chartres  (katikati) baada ya kupokea hati  za  utambulisho toka kwa balozi huyo mpya Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 16, 2018. PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad