HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 17, 2018

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MAONESHO YA BIASHARA MAISARA MJINI UNGUJA.

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idi kulia akipata maelezo kutoka kwa Afisa uhusiano wa Taasisi ya Viwango Zanzibar Aisha Abdulkheir Mohammed wakati alipotembelea Banda hilo katika maonesho ya Biashara Maisara Mjini Unguja.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiangalia Bidhaa za Vipodozi na kupatiwa maelezo kuhusu matumizi yake na Bitatu Suleiman baada ya kutembelea Banda hilo katika maonesho ya Biashara Maisara Mjini Unguja.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akipatiwa bidhaa ya Sabuni zinazotengenezwa na Mjasiria mali wa Zaidat Product Bi Tatu Suleiman baada ya kutembelea Banda hilo katika maonesho ya Biashara Maisara Mjini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiwa amefuatana na Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Balozi Amina Salum Ali baada ya  kutembelea sehemu mbalimbali katika maonesho ya Biashara Maisara Mjini Unguja.
PICHA NA YUSSUF SIAMI/MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad