HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 6, 2017

TAIFA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI DESEMBA 16 HADI 23 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Ikiwa zimesalia siku 10 kuelekea Mashindano ya Taifa Cup kwa timu za kikapu nchini, tayari timu zimeshawasilisha  maombi ya ushiriki wao.

Timu hizo kutoka sehemu mbalimbali nchini zimeweza kutuma maombi yao kwa timu za wanaake pamoja na wanaume.

Taifa cup confirmation
1. Mbeya Male and Female
2. Rukwa Male
3. Mtwara Male
4. Dream Team Male & Female
5. Dar City Male $ Female
6. Dodoma Male & Female
7. Tabora Male & Female
8. Iringa Male & Female
9. Kusini Unguja Male
10. Mara Male
11. Shinyanga Male & Feml
12. Morogoro Male
13. Unguja Kaskazin Male & Female

14. Songwe Male
15. Arusha Male
16. Lindi Male
17. Singida Male
18. Tanga Male & Female
19. Manyara Male
20. Songea Male
21. Kighoma Male & Female

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad