HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 5, 2017

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA MAWASILIANO AFANYA ZIARA KATIKA MAMLAKA YA MAWASILIANO NCHINI (TCRA)

 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam mara baada ya kumaliza ziara yake Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA).
 Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akisalimiana na wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) alipofanya ziara katika ofisi hizo ili kujitambulisha na kukagua huduma mbalimbali wanazozitoa katika sekta ya mawasiliano hapa nchini Tanzania.
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kushoto), akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa TCRA kuhusu vifaa vya mawasiliano vilivyotumika zamani alipotembelea makumbusho ya Mamlaka hiyo katika ziara ya kujitambulisha na kukagua huduma ya mawasiliano.
  Picha ya pamoja na wafanyakazi wa TCRA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad