HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 31, 2017

JKU YAIPIGA ZIMAMOTO BAO 1-0 UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR

Mshambuliaji wa Timu ya Zimamoto, Hafidh Barik akipokea mpira huku beki wa Timu ya JKU, Ponsiana Malik akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Kombe la Mapinduzi uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar jana, Timu ya JKU imeshinda bao 1-0.
Wachezaji wa Timu ya JKU na Zimamoto, Ponsiana Malik na Amour Haji, wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda bao 1- 0(Picha na Othman Maulid).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad