HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 21, 2017

Idara ya Habari (MAELEZO) Yapokea Msaada wa Vifaa Kutoka Ubalozi wa China

  Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini Mhe. WANG Ke akimwelezea jambo Waziri wa Habari, Utamduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe wakati wa hafla fupi ya kukabidhi msaada wa vifaa kwa ajili ya Idara ya Habari (MAELEZO) iliyofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa China Jijini Dar es Salaam leo. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akimsikiliza Waziri Mshauri wa Ubalozi wa China hapa nchini Gou Haodong  walipokutana katika hafla fupi ya kukabidhi msaada wa vifaa kwa ajili ya Idara ya Habari (MAELEZO) iliyofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa China Jijini Dar es Salaam leo. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi na Waziri Mshauri wa Ubalozi wa China hapa nchini Gou Haodong  wakitia saini hati ya makabidhiano ya vifaa katika hafla fupi ya kukabidhi vifaa hivyo iliyofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa China Jijini Dar es Salaam leo. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akielezea jambo mbele ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini Mhe. WANG Ke  walipokutana katika hafla fupi ya kukabidhi msaada wa vifaa kwa ajili ya Idara ya Habari (MAELEZO) iliyofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa China Jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Rodney Thadeus. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akielezea jambo mbele ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini Mhe. WANG Ke  walipokutana katika hafla fupi ya kukabidhi msaada wa vifaa kwa ajili ya Idara hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa China Jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Rodney Thadeus. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi.
 Waziri wa Habari, Utamduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akipokea zawadi ya Krismasi kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini Mhe. WANG Ke  mara baada ya hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa kwa ajili ya Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akipokea zawadi ya Krismasi kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini Mhe. WANG Ke  mara baada ya hafla fupi ya makabidhiano ya vifaa kwa ajili ya Idara yake leo Jijini Dar es Salaam. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi. 
Waziri Mshauri wa Ubalozi wa China hapa nchini Gou Haodong  akifafanua jambo mbele ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (wa pili kutoka kushoto) walipokutana katika hafla fupi ya makabidhiano ya msaada wa vifaa kwa ajili ya Idara ya Habari (MAELEZO) iliyofanyika katika Ofisi za Ubalozi wa China Jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China hapa nchini Mhe. WANG Ke. Msaada huo unajumuisha Kompyuta mpakato na samani za ofisi. (Picha na: Frank Shija – MAELEZO) 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad