HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 6, 2017

DKT SHEIN AHUDHURIA MAZISHI YA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI SERIKALI ZANZIBAR OTHMAN BAKARI LEO

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na wakijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar katika Sala ya Kuuombea Mwili wa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi Serikali Zanzibar Marehemu Othman Bakari dua ikisomwa na Sheikh Fadhil Soraga katika Masjid Shurba kidingochekundu Zanzibar na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe .(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein akiweka mchanga katika kaburi la marehemu Othman Bakari, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi Serikali Zanzibar, maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.(Picha na Ikulu),

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad