Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi
Injinia John Kijazi wakati alipomtembelea Waziri mkuu ofisini kwake
mjini Dodoma leo Novemba 10/2017 kwa mazungumzo ya kikazi.Katikati ni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge,Kazi Ajira,Vijana na
Walemavu Jenista Mhagama
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimfafanulia jambo Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mara Joyce Sokombi.(chadema) wakati wa Majadiliano ya Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Fedha kwa Mwaka 2018/2019 bungeni Dodoma leo Novemba 10/2017.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida Martha Mlata (CCM) wakati wa Majadiliano ya Mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Fedha kwa Mwaka 2018/2019 bungeni Dodoma leo Novemba 10/2017.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsalimia Mtoto Yvone Sadick (miezi7)akiwa katika Viwanja vya Bunge na Mama yake Mariam Zablon kutoka Bukombe mkoani Geita walipotembelea bungeni Dodoma leo Novemba 10/2017 kujionea shughuli za Bunge.
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
No comments:
Post a Comment