Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa Pole, Bi. Sharifa Msulwa. kufuatia
kifo cha Mume wake aliye kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania
(CWT) Marehemu Alhaji Yahya Msulwa ,Waziri Mkuu alifika nyumbani kwa
Marehmu Toangoma jijini Dar es salam leo November 18, 2017
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisaini kitabu cha maombolezo,alipo
hudhuria msibani kwa aliyekua Katibu Mkuu. Wa Chama cha Walimu Tanzania
(CWT) Marehemu, Alhaji Yahya Msulwa .leo Novemba,18. 2017. Nyumbani kwa
marehemu Toangoma jijini Dar es salaam.Aliye simama kwa kwa Waziri Mkuu
ni Mke wake Mama Mary Majaliwa.
Mke
wa Waziri Mkuu Mary Majaliwa, akisaini kitabu cha maombolezo,alipo
hudhuria msibani kwa aliyekua Katibu Mkuu. Wa Chama cha Walimu Tanzania
(CWT) Marehemu, Alhaji Yahya Msulwa .aliye simama kushoto kwake ni
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye alikuwa pamoja na Mke wake leo
Novemba,18. 2017. Nyumbani kwa marehemu Toangoma Jijini Dar es salaam.
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
No comments:
Post a Comment