HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 22, 2017

KAMATI YA USALAMA BARABARANI YAADHIMISHA WIKI YA NENDA KWA USALAMA KWA KUCHORA ALAMA ZA VIVUKO VYA WAENDA KWA MIGUU (zebra)

Mafundi wa kampuni ya Minica Ltd, kwa kushirikiana na Kamati ya Usalama Barabarani na Benki ya Stan Bic, wakichora alama za kivuko cha waenda kwa miguu 'Zebra' katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi katika makutano ya Taa za kuongozea magari za Ubalozi wa Ufaransa Dar es Salaam, leo mchana, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa usalama inayoendelea. Picha Zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
Mafundi wakiweka alama kabla ya kuanza kuchora

Mafundi wakiendelea kuchora alama



Mdau akishiriki kuchora alama






No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad