HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 20, 2017

Barabara ya Mbezi kwa Msuguli kuelekea Bwaloni-Masaki mpaka Malamba Mawili ni utelezi tu

 Kutokana na mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo katika baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es salaam, kumepelekea Barabara ya Mbezi kwa Msuguli kuelekea Bwaloni-Masaki mpaka Malamba Mawili kupitika kwa shida kutokana na utelezi wa tope. hali iliyoleta adha kubwa kwa watumiaji wa njia hiyo, kwani si gari wala pikipiki zinazoweza kupita kwa sasa.
 Mmoja wa waendesha bodaboda akijaribu kumuelekeza dereva wa gari iliyokuwa mbele yake kutembea katika sehemu yenye unafuu kidogo wa kupitika.
 Ni nadra sana kuona waendesha bodaboda wakiwa kwenye msururu namna hii, lakini kutokana na hali ya barabara hiyo imewalazimu na wao kufuata utaratibu na kukubali matokeo.
 Baadhi ya watembea kwa miguu.
Moja ya gari ikiwa imekwama katika barabara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad