HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 24, 2017

WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC

 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akitia saini katika kitabu cha wageni kwenye Ofisi za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC  alipokwenda kuagana nao na kutoa neno baada ya kufanya nao kazi kama Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mifugo na Uvuvi.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akizungumza wakati wa kuagana na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC, kulia ni mkaguzi wa Mazingirakanda ya Mashariki Bw. Jafari Chimgege na kushoto ni Dkt. Ruth Rugisha Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Baraza.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akizungumza na baadhi  ya viongozi katika Management ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.
Waziri Mpina akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi wa watumishi wa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad