HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 13, 2017

WANANCHI WA DODOMA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA BENKI YA EXIM

 Dodoma District Commissioner Christina Mndeme, addressing the guests, customers and media during the official launch of Exim Dodoma Branch located inside the University of Dodoma, at Chiwaga area yesterday. Others are Mr Fredrick Kanga, Head of Human Resources at Exim Bank Tanzania (left) and Mr Stanely Kafu, Head of Marketing at Exim Bank Tanzania (left).

 Mr Fredrick Kanga, Head of Human Resources at Exim Bank Tanzania addressing guests, customers and media during the official launch of Exim Bank Dodoma Branch located inside the University of Dodoma, at Chiwaga area yesterday. Others are Mr Stanley Kafu, Head of Marketing at Exim Bank Tanzania (left) and the guest of honour District Commissioner Christina Mndeme.

 Dodoma District Commissioner Christina Mndeme on behalf of the Regional Commissioner Jordan Rugimbana, officially launches Exim Bank Dodoma Branch earlier yesterday during the official ceremony. The branch which is located inside the University of Dar es Salaam Dodoma will serve the captive clients of the University of Dodoma, which consists of over 25,000 students, 2000 employees and over 8 Government Ministries who have moved there. It will also serve the Dodoma City clients, as the branch is only 5 to 7 minutes drive from the city centre. To her right is Mr Fredrick Kanga, head of Human Resources at Exim Bank Tanzania.

 Exim Bank Dodoma Branch staff interacting with the guest of honour Dodoma District Commissioner, Christina Mndeme during the official launch of the branch located inside the Universty University of Dodoma, at Chiwaga area yesterday.


BENKI ya Exim Tanzania imethibitisha  kujitolea  kuimarisha ushirikishwaji wa wa nanchi kwenye mfumo rasmi wa kifedha nchini kwa kuzindua tawi jipya katika mkoa wa Dodoma,Tanzania. UtanuzihuuutaongezauwepowaBenkiya Exim kuwanajumlayamatawi 33nchinikote.
Akizungumza katika uzinduzi rasmi Fredrick Kanga, Mkuu wa kitengo cha Rasilimali Watu katika Benki ya Exim Tanzania, alisema, "Utanuzi wa benki ni sehemu ya mkakati wetu wakukuza huduma zetu katika maeneo ambayo yanatuleta karibu na wateja wetu. Tawi litatoa huduma kamili za kibenki kama vile kuhifadhi pesa, huduma za uwekezaji, na suluhisho za malipo ya kampuni."
Tawi la Dodoma, lililopo ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma, litawahudumia wateja wa Chuo Kikuu hiko, ambacho kina wanafunzi zaidi ya 25,000, wafanyakazi2000 na Wizara za Serikali zaidi ya 8 ambazo zimehamia huko. 
Tawi litawatumikia wateja wa Jiji la Dodoma, kwa kuwa tawili na umbali wadakika 5 hadi 7 kwa mwendo wa gari kutoka katikati ya jiji.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana alipongeza Benki ya Exim Tanzania kwa kujitolea kwake "Tunafurahi kuwa na uwepo wa Benki ya Exim katika mji mkuuwa Tanzania, ili kuimarisha ushirikishwaji wa wananchi kwenye mfumo rasmi wa kifedha  unao wawezesha kupata huduma, bidhaa za kifedha,na mitaji kwa jamii na watu binafsi wa Dodoma. "
Benkiya Exim  imeongezeka kwa ujasiri ilikukuza msingi wa mali na kufanikiwa kutanua uwezo  kwa wateja Shughuli za Benki zinapatikana katika mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Tanga, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Iringa, Mbeya na Mtwara ndani ya Tanzania na kampuni tanzu nje ya nchi katika Visiwa vya Anjouan, MohelinaMoroni vya Union of Comoros ,kwenye Jamhuri ya Djibouti na Uganda – uwepo wa benki ya Exim.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad