Dodoma District Commissioner Christina Mndeme, addressing the guests,
customers and media during the official launch of Exim Dodoma Branch
located inside the University of Dodoma, at Chiwaga area yesterday.
Others are Mr Fredrick Kanga, Head of Human Resources at Exim Bank
Tanzania (left) and Mr Stanely Kafu, Head of Marketing at Exim Bank
Tanzania (left).
Mr
Fredrick Kanga, Head of Human Resources at Exim Bank Tanzania
addressing guests, customers and media during the official launch of
Exim Bank Dodoma Branch located inside the University of Dodoma,
at Chiwaga area yesterday. Others are Mr Stanley Kafu, Head of Marketing
at Exim Bank Tanzania (left) and the guest of honour District
Commissioner Christina Mndeme.
Dodoma
District Commissioner Christina Mndeme on behalf of the Regional
Commissioner Jordan Rugimbana, officially launches Exim Bank Dodoma
Branch earlier yesterday during the official ceremony. The branch which
is located inside the University of Dar es Salaam Dodoma will serve the
captive clients of the University of Dodoma, which consists of over
25,000 students, 2000 employees and over 8 Government Ministries who
have moved there. It will also serve the Dodoma City clients, as the
branch is only 5 to 7 minutes drive from the city centre. To her right
is Mr Fredrick Kanga, head of Human Resources at Exim Bank Tanzania.
Exim Bank Dodoma Branch staff interacting with the guest of honour Dodoma District Commissioner, Christina Mndeme during the official launch of the branch located inside the Universty University of Dodoma, at Chiwaga area yesterday.
BENKI
ya Exim Tanzania imethibitisha kujitolea kuimarisha ushirikishwaji wa wa nanchi kwenye
mfumo rasmi wa kifedha nchini kwa kuzindua tawi jipya katika mkoa wa Dodoma,Tanzania.
UtanuzihuuutaongezauwepowaBenkiya Exim kuwanajumlayamatawi 33nchinikote.
Akizungumza
katika uzinduzi rasmi Fredrick Kanga, Mkuu wa kitengo cha Rasilimali Watu katika
Benki ya Exim Tanzania, alisema, "Utanuzi wa benki ni sehemu ya mkakati wetu
wakukuza huduma zetu katika maeneo ambayo yanatuleta karibu na wateja wetu.
Tawi litatoa huduma kamili za kibenki kama vile kuhifadhi pesa, huduma za uwekezaji,
na suluhisho za malipo ya kampuni."
Tawi
la Dodoma, lililopo ndani ya Chuo Kikuu cha Dodoma, litawahudumia wateja wa
Chuo Kikuu hiko, ambacho kina wanafunzi zaidi ya 25,000, wafanyakazi2000 na Wizara
za Serikali zaidi ya 8 ambazo zimehamia huko.
Tawi
litawatumikia wateja wa Jiji la Dodoma, kwa kuwa tawili na umbali wadakika 5
hadi 7 kwa mwendo wa gari kutoka katikati ya jiji.
Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana alipongeza Benki ya Exim Tanzania kwa kujitolea
kwake "Tunafurahi kuwa na uwepo wa Benki ya Exim katika mji mkuuwa
Tanzania, ili kuimarisha ushirikishwaji wa wananchi kwenye mfumo rasmi wa kifedha unao wawezesha kupata huduma, bidhaa za kifedha,na
mitaji kwa jamii na watu binafsi wa Dodoma. "
Benkiya Exim imeongezeka kwa ujasiri
ilikukuza msingi wa mali na kufanikiwa kutanua uwezo kwa wateja Shughuli za Benki zinapatikana katika
mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar, Tanga, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha,
Manyara, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Iringa, Mbeya na Mtwara ndani ya Tanzania
na kampuni tanzu nje ya nchi katika Visiwa vya Anjouan, MohelinaMoroni vya
Union of Comoros ,kwenye Jamhuri ya Djibouti na Uganda – uwepo wa benki ya Exim.
No comments:
Post a Comment