HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 10, 2017

VIDEO:KLABU YA NDANDA KUNG'OA MABANGO YA WADHAMINI

Bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Ndanda FC yenye maskani yake manispaa ya Mtwara Mikindani imeukana udhamini wa kampuni ya Maxcom Limited na Kiboko ambapo awali ulitangaza kutoa udhamini kwa klabu hiyo hivyo kuleta mvutano pande mbili kati wanachama na uongozi ambapo wanachama wandai kuwa na wadhamini wanne na huku timu ikiendelea kulalama ukata wa fedha. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad