HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 17, 2017

TMA yatoa semina kwa wanahabari juu utabiri mpya msimu wa mvua za Novemba hadi Aprili 2018

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi (kulia) akizungumza na washiriki (hawapo pichani) wa semina iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa wanahabari juu utabiri mpya msimu wa mvua za Novemba hadi Aprili 2018, wakati akifunga rasmi semina hiyo.
Sehemu ya wanahabari wakiwa katika semina iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)kwa wanahabari juu utabiri mpya msimu wa mvua za Novemba hadi Aprili 2018, unaotarajiwa kutolewa na mamlaka hiyo Oktoba 17, 2017 jijini Dar es Salaam. Utabiri wa msimu wa mvua za Novemba mwaka huu hadi Aprili 2018, kwa maeneo ya kusini mwa Tanzania unatolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2017.
Baadhi ya washiriki katika semina hiyo wakiwasilisha kazi za makundi kwenye semina hiyo iliyofanyika Ofisi za TMA jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki katika semina hiyo wakiwasilisha kazi za makundi kwenye semina hiyo iliyofanyika Ofisi za TMA jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki katika semina hiyo akichangia mada.
Meza kuu ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Agnes Kijazi (wa kwanza kulia) ikifuatilia kwa makini uwasilishaji wa kazi za makundi katika semina hiyo iliyofanyika Ofisi za TMA jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja kwa washiriki katika semina iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)kwa wanahabari juu utabiri mpya msimu wa mvua za Novemba hadi Aprili 2018, unaotarajiwa kutolewa na mamlaka hiyo Oktoba 17, 2017 jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja kwa washiriki katika semina iliyoandaliwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)kwa wanahabari juu utabiri mpya msimu wa mvua za Novemba hadi Aprili 2018, unaotarajiwa kutolewa na mamlaka hiyo Oktoba 17, 2017 jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad