HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 7, 2017

RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2017. Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi pamoja na maafisa waandamizi wa Ofisi ya Rais walikuwapo. Picha na Ikulu



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad