Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 7, 2017. Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi pamoja na maafisa waandamizi wa Ofisi ya Rais walikuwapo. Picha na Ikulu
Saturday, October 7, 2017
RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI
Tags
# HABARI
# RAIS MAGUFULI
RAIS MAGUFULI
Labels:
HABARI,
RAIS MAGUFULI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment