HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 25, 2017

ASKOFU NDIMBO WA MBINGA ANENA KUHUSU KIFO CHA HAYATI ASKOFU CASTOR WA MASASI TUNDURU

Askofu wa jimbo la mbinga ASKOFU JOHN NDIMBO leo ameongoza mapokezi ya kuupokea mwili wa hayati askofu CASTOR MSEMWA aliyefarika dunia tarehe 19.10.2017 saa saba mchana na mazishi yake yatafanika hapo kesho katika jimbo la MASASI TUNDURU mkaoni RUVUMA Askofu CASTOR MSEMWA ALIZALIWA TAREHE 13.02.1955 katika kijiji cha KITULIRA WIALAYANI NJOMBE .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad