Askofu wa jimbo la mbinga ASKOFU JOHN NDIMBO leo ameongoza mapokezi ya kuupokea mwili wa hayati askofu CASTOR MSEMWA aliyefarika dunia tarehe 19.10.2017 saa saba mchana na mazishi yake yatafanika hapo kesho katika jimbo la MASASI TUNDURU mkaoni RUVUMA Askofu CASTOR MSEMWA ALIZALIWA TAREHE 13.02.1955 katika kijiji cha KITULIRA WIALAYANI NJOMBE .
Wednesday, October 25, 2017
Home
HABARI KIJAMII
ASKOFU NDIMBO WA MBINGA ANENA KUHUSU KIFO CHA HAYATI ASKOFU CASTOR WA MASASI TUNDURU
ASKOFU NDIMBO WA MBINGA ANENA KUHUSU KIFO CHA HAYATI ASKOFU CASTOR WA MASASI TUNDURU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment