HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 6, 2017

PANAFRICAN Energy Tanzania yakabidhi jengo la ‘Mama Ngonjea’ hospitali ya wilaya Kinyonga, Kilwa Kivinje

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai (kulia) akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Tanzania, Andrew Kashangaki (katikati) katika hafla ya kukabidhi jengo maalum la mama ngojea ‘maternity waiting home’ yaani kwa kina mama wajawazito watakaokua wakisubiri kujifungua katika hospitali ya Kinyonga – Kilwa Kivinje, mradi uliogharimu shilingi 220m/-. kushoto kwake ni Mratibu wa shughli za Uwajibika kwa jamii -PANAFRICAN ENERGY Tanzania, Yvonne Abba.
Meneja Uwajibikaji kwa jamii kampuni ya PAN AFRICA energy, Andrew Kashangaki akimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai baada ya Kumkabidhi jengo la mama ngojea na vifaa vya kupumzikia iliyogharimu shilingi milioni 220.
Baadhi ya wananchii wa wilaya ya Kilwa wakimsikiliza mgeni Rasmi ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Kilwa Christopher Ngubiagai akitoa hotuba yake katika Hafla ya Uzinduzi wa Jengo la Mama wajawazito iliyofanyika katika Hospital Kinyonga wilaya ya Kilwa .
Mratibu wa uwajibikaji kwa Jamii-PANAFRICA ENERGY, Yvone K Abba akipeana mkono na mkuu wa wilaya ya Kilwa, Christopher Ngubiagai katika Hafla ya kukabidhi jengo la kusubiri la mama Mjamzioto-Kilwa Lindi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad