HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 25, 2017

MSIOGOPE BAADA YA GIZA NENE ASUBUHI HUTOKEA – LEMA

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema ameeleza baada ya Mbunge wa Iringa Mjini kukamatwa jana wakati akiwa katika mkutano wake katika kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa.

Lema kupitia ukurasa wake wa Twitter baada ya mbunge huyo kukamatwa amesema kuwa wasiogpe baada ya giza nene asubuhi hutokea.
Msigwa amekamatwa na Polisi huko Iringa na kushushwa kwa nguvu jukwani ktk Mkutano halali. Msiogope baada ya giza nene asubuhi hutokea!
Msigwa alishushwa jukwaani kwa nguvu akiwa anahutubia mkutano katika kata ya Mlandege huku akituhumiwa na kosa la uchochezi dhidi ya vyombo vya usalama.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad