.Mkurugenzi wa Idara ya Mtangamano wa Biashara BW. Ally Gugu akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano wa kujadili vikwazo vinavyoathiri Biashara kati ya Tanzania na Kenya uliofanyika katika ukumb wa mikutano Mwalimu Nyerere leo jijini Dar es Salaam
.Mkurugenzi Idara ya Mtangamano wa Biashara, Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Bw. Ally Gugu akizungumza mara baada ya kufungua Mkutano wa kujadili vikwazo vinavyoathiri Biashara kati ya Tanzania na Kenya katika ukumbi wa mikutano Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam .Kulia ni Bi. Sekela Mwaisela Mkurugenzi Msaidizi idara ya Mtengamano wa Biashara ,Wizara ya Viwanda ,Biashara na Uwekezaji, Kushoto ni Mkurugenzi wa Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji,Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw.Bernard Haule.
No comments:
Post a Comment