Taasisi ya utafiti ya REPOA, Imezindua Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi (Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) Katika Warsha iliyowakutanisha Wasomi na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Dodoma.
Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo (MB) akitoa Hotuba ya Ufunguzi wa warsha ya uzinduzi wa
Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi
(Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) .Warsha iliyowakutanisha Wasomi na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani
Dodoma.
Baadhi ya wadau walioshiriki katika warsha ya uzinduzi wa
Ripoti ya Utafiti Kuhusu Ugatuaji wa Madaraka kwa Wananchi
(Understanding Decentralization and Devolution in Tanzania) Mkoani
Dodoma.
No comments:
Post a Comment